
Bruno ameichezea Ureno jumla ya mechi 89, aliyekuwepo pia kwenye kikosi cha Ureno kilichobeba kombe la mataifa Ulaya na anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 2.
Kwamujibu wa BBC, Kocha wa Rangers Pedro Caixinha amezungumzia malengo yake na kusema kuwa anahitaji kuimarisha kikosi zaidi kwaajili ya msimu ujao
"Tunahitaji kuwa na timu yakiushindani zaidi na itakayowafurahisha mashabiki na kujenga historia ya klabu: alisema
TUFUATILIE KUPITIA FACEBOOK NA TWITTER
Bofya hapa chini ku-like ukurasa wetu wa facebook
https://www.facebook.com/RadaYetuSports/
Bofya hapa kutufuatilia kupitia twitter
https://twitter.com/RadaYetu
Comments
Post a Comment