Skip to main content

Ratiba ya Premier League kwa klabu ya Chelsea, Msimu wa 2017/2018 imetoka

Ratiba ya mabingwa wa Ligi kuu ya Uingereza 2016/2017 klabu ya Chelsea imetoka rasmi huku vijana hao wa Conte wakitarajiwa kufungua dimba na timu ya Barnley.
Katika ratiba hiyo, Chelsea watakutana na mchezo mgumu mapema pale watakapokaribishwa White Hart Lane kuwakabili Tottenham katika mchezo wa pili.
The Blues watamalizia msimu kwa kusafiri kwenda katika dimba la Reebock Stadium kuwakabili vijana wa Rafa Benitez, Newcastle United ambayo imepanda daraja msimu huu, ikiwa ni wiki moja baada ya kuvaana na Liverpool.
RATIBA KAMILI HII HAPA:

TAREHEMUDA MECHI
12/08/2017 15:00 Chelsea v Burnley
19/08/2017 15:00 Tottenham Hotspur v Chelsea
26/08/2017 15:00 Chelsea v Everton
09/09/2017 15:00 Leicester City v Chelsea
16/09/2017 15:00 Chelsea v Arsenal
23/09/2017 15:00 Stoke City v Chelsea
30/09/2017 15:00 Chelsea v Manchester City
14/10/2017 15:00 Crystal Palace v Chelsea
21/10/2017 15:00 Chelsea v Watford
28/10/2017 15:00 Bournemouth v Chelsea
04/11/2017 15:00 Chelsea v Manchester United
18/11/2017 15:00 West Bromwich Albion v Chelsea
25/11/2017 15:00 Liverpool v Chelsea
29/11/2017 19:45 Chelsea v Swansea City
02/12/2017 15:00 Chelsea v Newcastle United
09/12/2017 15:00 West Ham United v Chelsea
12/12/2017 19:45 Huddersfield Town v Chelsea
16/12/2017 15:00 Chelsea v Southampton
23/12/2017 15:00 Everton v Chelsea
26/12/2017 15:00 Chelsea v Brighton and Hove Albion
30/12/2017 15:00 Chelsea v Stoke City
01/01/2018 15:00 Arsenal v Chelsea
13/01/2018 15:00 Chelsea v Leicester City
20/01/2018 15:00 Brighton and Hove Albion v Chelsea
31/01/2018 19:45 Chelsea v Bournemouth
03/02/2018 15:00 Watford v Chelsea
10/02/2018 15:00 Chelsea v West Bromwich Albion
24/02/2018 15:00 Manchester United v Chelsea
03/03/2018 15:00 Manchester City v Chelsea
10/03/2018 15:00 Chelsea v Crystal Palace
17/03/2018 15:00 Burnley v Chelsea
31/03/2018 15:00 Chelsea v Tottenham Hotspur
07/04/2018 15:00 Chelsea v West Ham United
14/04/2018 15:00 Southampton v Chelsea
21/04/2018 15:00 Chelsea v Huddersfield Town
28/04/2018 15:00 Swansea City v Chelsea
05/05/2018 15:00 Chelsea v Liverpool
13/05/2018 15:00 Newcastle United v Chelsea

Comments

Popular posts from this blog

Wajue Wafungaji bora wa EPL kwa kila timu inayoshiriki sasa

1. CHELSEA - Frank Lampard -147 Lampard ndiye anayeshikilia rekodi ya mfungaji bora wa Chelsea wa muda wote yaani tangu (Chelsea) ilipoanzishwa akitupia kambani magoli 211. Alisajiliwa akitokea West ham mwaka 2001 na kwa sasa ni moja kati ya mashujaa wa kubwa wa klabu ya Chelsea. Alifunga goli la kwanza la Premier League akiwa na Chelsea December 23, 2001. Goli la mwisho alilifunga 05 April 2014. 2. TOTTENHAM - Teddy Sheringham - 98 Teddy Sheringham anafahamika kama "Legend" wa Tottenham Hotspurs pamoja na kuvichezea vilabu takribani 10 vya nchini uingereza ikiwemo Manchester United na West ham United. Alisajiliwa na Tottenham akitokea Nottingham Forest mwaka 1992 na alisajiliwa na Man United 1997 kabla ya kurejea tena Tottenham 2001. Aliifungia Spurs goli la kwanza tar.02.september 1992 na la mwisho tar. 21 April 2003 kabla hajatimkia Portsmouth   3. MANCHESTER CITY - Sergio Aguero -120 Akiwa amesaliwa na magoli 10 tu kuwa mfungaji bora wa historia wa M...

Liverpool kuwakumbuka 96 waliokufa janga la Hillsborough: Ifahamu zaidi "HILLSBOROUGH DISASTER"

Familia ya wana Liverpool FC wakiwemo wakiwemo mashabiki, wachezaji, Viongozi wa timu pamoja na wanafamilia na wahanga wa janga la Hillsborough (Hillsborough Family Support Group -HFSG) wataungana leo katika maadhimisho ya kuwakumbuka wapendwa wao waliofariki tarehe kama ya leo miaka 28 iliyopita wakiwa uwanjani. Tukio hilo maarufu kama "HILLSBOROUGH DISASTER 96" lilitokea katika mchezo wa nusu fainali ya mwaka 1988-1989 kati ya Liverpool na Nottingham Forest katika uwanja wa Hillsborough .Katika tukio hili watu 96 walifariki dunia na wengine 766 kujeruhiwa na kuacha kumbukumbu mpaka leo yakuwa ni janga kubwa la kimichezo kuwahi kutokea katika hisporia ya michezo Uingereza. Chanzo cha tukio hili ni amri ya kimakosa ya Afisa polisi ambaye ni mkuu wa siku hiyo Police David Duckenfield iliyoamuru geti la kuingia uwanjani lililojulikana kama Geti "C" kufunguliwa angali nje kulikuwa na idadi kubwa ya mashabiki waliokuwa wakishinikiza kuingia ndani. Baada ya geti hi...

TIMU YA LIGI DARAJA LA KWANZA UINGEREZA YAPANDA DARAJA KWA MARA YA KWANZA

Brighton & Hove Albion imefanikiwa kupanda daraja na hivyo kushiriki ligi kuu ya uingereza msimu ujao baada ya kujikusanyia jumla ya point 79 katika michezo 43 iliyokwisha cheza mpaka sasa ikiwa imesalia michezo 3. Brighton Albion inayonolewa na kocha wa zamani wa Birmingham City na Norwich City, Chris Hughton  itakuwa ni timu ya 48 kushiriki ligi kuu ya uingereza baada ya kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Wigan Athletics siku ya jumatatu. Kwa upande wake kocha Hughton amesema kuwa anajivunia namna ambavyo timu hiyo walivyojirudi kwa kasi kufuatia hali ya msimu. Aidha ameongeza kuwa kuweka nguvu zao kwa pamoja hadi kufikia hatua hii sio jambo rahisi, na wanahitaji kila aina ya pongezi. Brighton walinusa nafasi ya kucheza ligi kuu ya uingereza msimu uliopita baada ya kuwa katika ushindani mkubwa na kujikuta wakipoteza nafasi hiyo kwa tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga dhidi ya Barnely kufuatia matokeo ya sare waliyoyapata dhidi Middlesbrough. Kufuatia ushindi huu ...