Skip to main content

Ratiba ya Premier League kwa Machester United 2017/2018

Ratiba ya msimu ujao wa Premier League 2072018 kwa klabu ya Manchester United imetoka huku magwiji hao wa England wakitupa karata yao ya kwanza dhidi ya wagonga nyundo wa London West Ham.
Manchester United wataanza mchezo wao wa kwanza katika dimba lao la Old Traford wakiwakaribisha WestHam huku Derby ya jiji la Manchester itakayowakutanisha na Man City ikisogezwa hadi December 9 na utapigwa hapo hapo Old Traford.
Derby yao kuu dhidi ya Liverpool inatarajiwa kupigwa October 14 watakapokaribishwa katika dimba la Anfield.
Katika mchezo wa mwisho, Manchester wamepata bahati pia ya kumalizia katika uwanja wao wa nyumbani dhidi ya Watford.

Ratiba kamili hii hapa.

DATETIME MATCH
12/08/2017 15:00 Manchester United v West Ham United
19/08/2017 15:00 Swansea City v Manchester United
26/08/2017 15:00 Manchester United v Leicester City
09/09/2017 15:00 Stoke City v Manchester United
16/09/2017 15:00 Manchester United v Everton
23/09/2017 15:00 Southampton v Manchester United
30/09/2017 15:00 Manchester United v Crystal Palace
14/10/2017 15:00 Liverpool v Manchester United
21/10/2017 15:00 Huddersfield Town v Manchester United
28/10/2017 15:00 Manchester United v Tottenham
04/11/2017 15:00 Chelsea v Manchester United
18/11/2017 15:00 Manchester United v Newcastle United
25/11/2017 15:00 Manchester United v Brighton and Hove Albion
28/11/2017 19:45 Watford v Manchester United
02/12/2017 15:00 Arsenal v Manchester United
09/12/2017 15:00 Manchester United v Manchester City
12/12/2017 20:00 Manchester United v Bournemouth
16/12/2017 15:00 West Bromwich Albion v Manchester United
23/12/2017 15:00 Leicester City v Manchester United
26/12/2017 15:00 Manchester United v Burnley
30/12/2017 15:00 Manchester United v Southampton
01/01/2018 15:00 Everton v Manchester United
13/01/2018 15:00 Manchester United v Stoke City
20/01/2018 15:00 Burnley v Manchester United
31/01/2018 20:00 Tottenham v Manchester United
03/02/2018 15:00 Manchester United v Huddersfield Town
10/02/2018 15:00 Newcastle United v Manchester United
24/02/2018 15:00 Manchester United v Chelsea
03/03/2018 15:00 Crystal Palace v Manchester United
10/03/2018 15:00 Manchester United v Liverpool
17/03/2018 15:00 West Ham United v Manchester United
31/03/2018 15:00 Manchester United v Swansea City
07/04/2018 15:00 Manchester City v Manchester United
14/04/2018 15:00 Manchester United v West Bromwich Albion
21/04/2018 15:00 Bournemouth v Manchester United
28/04/2018 15:00 Manchester United v Arsenal
05/05/2018 15:00 Brighton and Hove Albion v Manchester United
13/05/2018 15:00 Manchester United v Watford

Comments

Popular posts from this blog

Wajue Wafungaji bora wa EPL kwa kila timu inayoshiriki sasa

1. CHELSEA - Frank Lampard -147 Lampard ndiye anayeshikilia rekodi ya mfungaji bora wa Chelsea wa muda wote yaani tangu (Chelsea) ilipoanzishwa akitupia kambani magoli 211. Alisajiliwa akitokea West ham mwaka 2001 na kwa sasa ni moja kati ya mashujaa wa kubwa wa klabu ya Chelsea. Alifunga goli la kwanza la Premier League akiwa na Chelsea December 23, 2001. Goli la mwisho alilifunga 05 April 2014. 2. TOTTENHAM - Teddy Sheringham - 98 Teddy Sheringham anafahamika kama "Legend" wa Tottenham Hotspurs pamoja na kuvichezea vilabu takribani 10 vya nchini uingereza ikiwemo Manchester United na West ham United. Alisajiliwa na Tottenham akitokea Nottingham Forest mwaka 1992 na alisajiliwa na Man United 1997 kabla ya kurejea tena Tottenham 2001. Aliifungia Spurs goli la kwanza tar.02.september 1992 na la mwisho tar. 21 April 2003 kabla hajatimkia Portsmouth   3. MANCHESTER CITY - Sergio Aguero -120 Akiwa amesaliwa na magoli 10 tu kuwa mfungaji bora wa historia wa M...

Liverpool kuwakumbuka 96 waliokufa janga la Hillsborough: Ifahamu zaidi "HILLSBOROUGH DISASTER"

Familia ya wana Liverpool FC wakiwemo wakiwemo mashabiki, wachezaji, Viongozi wa timu pamoja na wanafamilia na wahanga wa janga la Hillsborough (Hillsborough Family Support Group -HFSG) wataungana leo katika maadhimisho ya kuwakumbuka wapendwa wao waliofariki tarehe kama ya leo miaka 28 iliyopita wakiwa uwanjani. Tukio hilo maarufu kama "HILLSBOROUGH DISASTER 96" lilitokea katika mchezo wa nusu fainali ya mwaka 1988-1989 kati ya Liverpool na Nottingham Forest katika uwanja wa Hillsborough .Katika tukio hili watu 96 walifariki dunia na wengine 766 kujeruhiwa na kuacha kumbukumbu mpaka leo yakuwa ni janga kubwa la kimichezo kuwahi kutokea katika hisporia ya michezo Uingereza. Chanzo cha tukio hili ni amri ya kimakosa ya Afisa polisi ambaye ni mkuu wa siku hiyo Police David Duckenfield iliyoamuru geti la kuingia uwanjani lililojulikana kama Geti "C" kufunguliwa angali nje kulikuwa na idadi kubwa ya mashabiki waliokuwa wakishinikiza kuingia ndani. Baada ya geti hi...

TIMU YA LIGI DARAJA LA KWANZA UINGEREZA YAPANDA DARAJA KWA MARA YA KWANZA

Brighton & Hove Albion imefanikiwa kupanda daraja na hivyo kushiriki ligi kuu ya uingereza msimu ujao baada ya kujikusanyia jumla ya point 79 katika michezo 43 iliyokwisha cheza mpaka sasa ikiwa imesalia michezo 3. Brighton Albion inayonolewa na kocha wa zamani wa Birmingham City na Norwich City, Chris Hughton  itakuwa ni timu ya 48 kushiriki ligi kuu ya uingereza baada ya kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Wigan Athletics siku ya jumatatu. Kwa upande wake kocha Hughton amesema kuwa anajivunia namna ambavyo timu hiyo walivyojirudi kwa kasi kufuatia hali ya msimu. Aidha ameongeza kuwa kuweka nguvu zao kwa pamoja hadi kufikia hatua hii sio jambo rahisi, na wanahitaji kila aina ya pongezi. Brighton walinusa nafasi ya kucheza ligi kuu ya uingereza msimu uliopita baada ya kuwa katika ushindani mkubwa na kujikuta wakipoteza nafasi hiyo kwa tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga dhidi ya Barnely kufuatia matokeo ya sare waliyoyapata dhidi Middlesbrough. Kufuatia ushindi huu ...