Skip to main content

Ratiba nzima ya Premier League kwa klabu ya Liverpool 2017/2018

Klabu ya Liverpool imetoa ratiba ya timu itakazokutana nazo msimu ujao wa 2017/2018 unaotarajiwa kuanza tarehe 12, August 2017. Katika ratiba hiyo, Liverpool wataanza ugenini kuwavaa Watford huku mechi kubwa ya kwanza itawakutanisha na Arsenal mwezi huohuo wa August tarehe 26 ikifuatiwa na mechi dhidi ya Man City.
Katika mchezo wa mwisho ambapo ligi itakuwa ikimalizika hapo tarehe 13 May, Liverpool itamaliza na Brighton and Hove Albion waliopanda daraja msimu huu.
Liverpool inakabiliwa na michezo mingi zaidi kwa msimu ujao kutokana na kufuzu kushiriki michuano ya ligi kuu ya mabingwa Ulaya 2017/2018

Hii hapa ndiyo ratiba nzima kwa klabu ya Liverpool msimu 2017/2018

TAREHE    MUDA   MECHI
12/08/2017   15:00   Watford v Liverpool
19/08/2017   15:00   Liverpool v Crystal Palace
26/08/2017   15:00   Liverpool v Arsenal
09/09/2017   15:00   Manchester City v Liverpool
16/09/2017   15:00   Liverpool v Burnley
23/09/2017   15:00   Leicester City v Liverpool
30/09/2017   15:00   Newcastle United v Liverpool
14/10/2017   15:00   Liverpool v Manchester United
21/10/2017   15:00   Tottenham Hotspur v Liverpool
28/10/2017   15:00   Liverpool v Huddersfield Town
04/11/2017   15:00   West Ham United v Liverpool
18/11/2017   15:00   Liverpool v Southampton
25/11/2017   15:00   Liverpool v Chelsea
29/11/2017   20:00   Stoke City v Liverpool
02/12/2017   15:00   Brighton and Hove Albion v Liverpool
09/12/2017   15:00   Liverpool v Everton
13/12/2017   20:00   Liverpool v West Bromwich Albion
16/12/2017   15:00   Bournemouth v Liverpool
23/12/2017   15:00   Arsenal v Liverpool
26/12/2017   15:00   Liverpool v Swansea City
30/12/2017   15:00   Liverpool v Leicester City
01/01/2018   15:00   Burnley v Liverpool
13/01/2018   15:00   Liverpool v Manchester City
20/01/2018   15:00   Swansea City v Liverpool
30/01/2018   19:45   Huddersfield Town v Liverpool
03/02/2018   15:00   Liverpool v Tottenham Hotspur
10/02/2018   15:00   Southampton v Liverpool
24/02/2018   15:00   Liverpool v West Ham United
03/03/2018   15:00   Liverpool v Newcastle United
10/03/2018   15:00   Manchester United v Liverpool
17/03/2018   15:00   Liverpool v Watford
31/03/2018   15:00   Crystal Palace v Liverpool
07/04/2018   15:00   Everton v Liverpool
14/04/2018   15:00   Liverpool v Bournemouth
21/04/2018   15:00   West Bromwich Albion v Liverpool
28/04/2018   15:00    Liverpool v Stoke City
05/05/2018   15:00   Chelsea v Liverpool
13/05/2018   15:00   Liverpool v Brighton and Hove Albion

Comments

Popular posts from this blog

Wajue Wafungaji bora wa EPL kwa kila timu inayoshiriki sasa

1. CHELSEA - Frank Lampard -147 Lampard ndiye anayeshikilia rekodi ya mfungaji bora wa Chelsea wa muda wote yaani tangu (Chelsea) ilipoanzishwa akitupia kambani magoli 211. Alisajiliwa akitokea West ham mwaka 2001 na kwa sasa ni moja kati ya mashujaa wa kubwa wa klabu ya Chelsea. Alifunga goli la kwanza la Premier League akiwa na Chelsea December 23, 2001. Goli la mwisho alilifunga 05 April 2014. 2. TOTTENHAM - Teddy Sheringham - 98 Teddy Sheringham anafahamika kama "Legend" wa Tottenham Hotspurs pamoja na kuvichezea vilabu takribani 10 vya nchini uingereza ikiwemo Manchester United na West ham United. Alisajiliwa na Tottenham akitokea Nottingham Forest mwaka 1992 na alisajiliwa na Man United 1997 kabla ya kurejea tena Tottenham 2001. Aliifungia Spurs goli la kwanza tar.02.september 1992 na la mwisho tar. 21 April 2003 kabla hajatimkia Portsmouth   3. MANCHESTER CITY - Sergio Aguero -120 Akiwa amesaliwa na magoli 10 tu kuwa mfungaji bora wa historia wa M...

Liverpool kuwakumbuka 96 waliokufa janga la Hillsborough: Ifahamu zaidi "HILLSBOROUGH DISASTER"

Familia ya wana Liverpool FC wakiwemo wakiwemo mashabiki, wachezaji, Viongozi wa timu pamoja na wanafamilia na wahanga wa janga la Hillsborough (Hillsborough Family Support Group -HFSG) wataungana leo katika maadhimisho ya kuwakumbuka wapendwa wao waliofariki tarehe kama ya leo miaka 28 iliyopita wakiwa uwanjani. Tukio hilo maarufu kama "HILLSBOROUGH DISASTER 96" lilitokea katika mchezo wa nusu fainali ya mwaka 1988-1989 kati ya Liverpool na Nottingham Forest katika uwanja wa Hillsborough .Katika tukio hili watu 96 walifariki dunia na wengine 766 kujeruhiwa na kuacha kumbukumbu mpaka leo yakuwa ni janga kubwa la kimichezo kuwahi kutokea katika hisporia ya michezo Uingereza. Chanzo cha tukio hili ni amri ya kimakosa ya Afisa polisi ambaye ni mkuu wa siku hiyo Police David Duckenfield iliyoamuru geti la kuingia uwanjani lililojulikana kama Geti "C" kufunguliwa angali nje kulikuwa na idadi kubwa ya mashabiki waliokuwa wakishinikiza kuingia ndani. Baada ya geti hi...

TIMU YA LIGI DARAJA LA KWANZA UINGEREZA YAPANDA DARAJA KWA MARA YA KWANZA

Brighton & Hove Albion imefanikiwa kupanda daraja na hivyo kushiriki ligi kuu ya uingereza msimu ujao baada ya kujikusanyia jumla ya point 79 katika michezo 43 iliyokwisha cheza mpaka sasa ikiwa imesalia michezo 3. Brighton Albion inayonolewa na kocha wa zamani wa Birmingham City na Norwich City, Chris Hughton  itakuwa ni timu ya 48 kushiriki ligi kuu ya uingereza baada ya kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Wigan Athletics siku ya jumatatu. Kwa upande wake kocha Hughton amesema kuwa anajivunia namna ambavyo timu hiyo walivyojirudi kwa kasi kufuatia hali ya msimu. Aidha ameongeza kuwa kuweka nguvu zao kwa pamoja hadi kufikia hatua hii sio jambo rahisi, na wanahitaji kila aina ya pongezi. Brighton walinusa nafasi ya kucheza ligi kuu ya uingereza msimu uliopita baada ya kuwa katika ushindani mkubwa na kujikuta wakipoteza nafasi hiyo kwa tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga dhidi ya Barnely kufuatia matokeo ya sare waliyoyapata dhidi Middlesbrough. Kufuatia ushindi huu ...